pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Jumatatu, 31 Oktoba 2016
Mkataba mpya wa Gareth Bale na Real Madrid.
Kwa mwaka atakuwa akilipwa shilingi billioni 95,148,000,000
Kwa mwezi billioni 7,929,000,000
Kwa wiki atalipwa 1,982,250,000
Kwa siku ataingiza 283,176,306
Kwa saa 1 ataingiza 11,798,352
Kwa dakika 1 ataingiza 195,582
Mkataba huu unamfanya Bale kuwa mwanasoka anayelipwa fedha nyingi zaidi.
*Malipo haya kabla ya kukatwa kodi*
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni