pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Jumatano, 31 Agosti 2016
MAHUSIANO: Katika jamii imezoeleka kuwa wanaume ndio wanaotongoza na ni nadra sana kukuta mwanamke anamtongoza mwanaume.
- Wanaume hutongoza kwa sababu zipi? Je, Hujaribu, Tamaa, Upendo(Love), Hitaji la kupooza haja zake, Kuoa, Kuchuna au kutafuta wa kuzugia aonekane
Una maoni gani?
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni