pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Jumatatu, 30 Januari 2017
SIMU INAWEZA KUMTIA PAUL POGBA MATATANI, USHAHIDI HUU HAPA…Kiungo wa bei kubwa wa Manchester United, Paul Pogba anaweza kuingia matatani baada ya kuonekana akiendesha gari huku akitumia simu kitu ambacho ni kinyume na sheria za uendeshaji gari nchini England.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni