pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Ijumaa, 13 Januari 2017
Las Palmas leo inakutana na FC Barcelona katika mchezo wa raundi ya kwanza ya La Liga. Katika mchezo huu Lionel Messi atacheza akihitaji kuiondoa Las Palmas katika timu 4 za La Liga ambazo hajawahi kuzifunga. Mechi itaanza saa 12 jioni kwa saa Tanzania na itaonekana live kupitia @azamtvtz Sport HD.
Azam TV
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni