pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Jumatatu, 28 Novemba 2016
PICHA 5: Lwandamina alivyoongoza mazoezi Yanga kwa mara ya kwanza Kocha George Lwandamina rasmi leo ameanza kazi ya kukinoa kikosi chake cha Yanga kwa mara ya kwanza. Lwandamina raia wa Zambia ameanza kazi kwenye Uwanja wa Chuo cha Polisi Kilwa Road jijini Dar es Salaam. Awali, uongozi wa Yanga ulimficha kocha huyo hadi SALEHJEMBE alipomfichua na kufanya naye mahojiano ya kwanza. Ameanza kazi ikiwa ni mara ya kwanza baada ya likizo ambayo walipewa na aliyekuwa kocha mkuu, Hans van der Pluijm.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni