pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Jumapili, 31 Julai 2016
Katika Mkutano mkuu wa wanachama wa Simba leo jijini Dsm, Rais waklabu ya Simba Evans Aveva akipitisha ajenda ya Mabadiliko ya mfumo katika kuongoza klabu ya Simba sasa kuandaa mfumo utakaoiwezesha klabu ya Simba kuongozwa kwa mfumo wa hisa. @simbasctanzania
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni