Jumamosi, 3 Desemba 2016

ARSENAL YAWATANDIKA 5-1 WEST HAM LONDON Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Arsenal katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, West Ham United usiku wa Jumamosi Uwanja wa London katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Mesut Ozil na Alex Oxlade-Chamberlain, wakati bao la wenyeji lilifungwa na Andy Carroll

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni