Jumatano, 2 Novemba 2016

BAADA YA KUREJESHWA KATIKA KIKOSI CHA KWANZA, BASTIAN SCHWEINSTEIGER AMEWASHUKUTU MASHABIKI

Kiungo mkongwe Bastian Schweinsteiger amerejeshwa kwenye kikosi cha kwanza cha Manchester United. Yeye hajakubali kurejea hivihivi, badala yake amewashukuru mashabiki wa Manchester United walikuwa wakimtumia meseji nzuri za kumjali.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni