pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Alhamisi, 1 Septemba 2016
Ni Ajib Yanga, hakuna namna KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm humwambii kitu kuhusu beki wake, Andrew Vicent ‘Dante’. Anamsifia Dante kwa jinsi anavyopiga vichwa licha ya ufupi wake. Lakini beki huyo amewaambia Yanga kwamba hata wakikutana na Simba leo mchezaji anayeweza kuwasumbua ni Ibrahim Ajib. Wala si Laudit Mavugo wala Muivory Coast Fredrick Blagnon. Dante amewaaminisha Yanga kwamba hao wanakabika kirahiiisi kinoma wala hana mzuka nao.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni