pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Ijumaa, 2 Septemba 2016
HAYA NDIO MANENO YA NGASA KUUSU KILICHO MSIBU MPAKA AKAVUNJA MKATABA WAKE Kiungo wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Ngassa si mchezaji tena wa Free State ya Afrika Kusini. Hiyo inafuatia mchezaji huyo kuvunja mkataba na klabu hiyo. Akizungumzia hilo Ngassa amesema sababu kubwa za kuondoka Free State ni timu hiyo kukosa malengo ya kushinda taji. "Ninaondoka Free State kwenda kujiunga na klabu ambayo itanirejesha kwenye enzi za kushinda mataji,” alisema Ngassa. Je, ni klabu ipi hiyo?
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni