pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Jumapili, 4 Desemba 2016
CONTE NA GUARDIOLA, HAWA JAMAA KWA MIDADI, HATAREEEEE Kocha wa Chelsea Antonio Conte amemnyoosha mpinzani wake, Pep Guardiola, wakati timu yake iliposhinda kwa mabao 3-1 dhidi ya Man City kwenye Uwanja Etihad. Wawili hao ni wakali wa midadi
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni