HAMILTON TENAAAA Dereva wa timu ya Mercedes Muingdreza Lewis Hamilton leo amefanikiwa kushinda Germany Grand Prix na nafasi ya pili ikikamatwa na Daniel Ricciardo wa Red Bull na namba 3 akishika Max Verstappen na yeye kutoka Red Bull. Hamilton huu ni ushindi wake wa 4 mfululizo na kuendelea kushika usikani katika msimamo wa Frmula 1 msimu huu akiwa na pointi 217 huku namba 2 ikikamatwa na Mjerumani Nico Rosberg ambaye leo amekuwa wa 4 na hivyo kuwa na pointi 198.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni