pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Alhamisi, 1 Desemba 2016
Hawa mashabiki wa Arsenal washangaza watu ndani ya Emirates Stadium. Picha kadhaa zilizopigwa kwenye mechi tofauti za Arsenal kwenye uwanja wa Emirates zimeshangaza watu na kaunza ku trend kwenye mitandao. Kwa kawaida inajulikana kwamba shabiki akienda uwanjani lazima anafuata kuangalia mechi ya timu yake. Lakini hawa wawili wamekua tofauti sana. Picha ya kwanza inamuonyesha jamaa mmoja asiyejulikana jina lake akitumia muda karibia wa kipindi kizima cha kwanza aki-fanya video call na mwanamke ambae inawezekana akawa ni mpenzi wake. Inakuaje kipindi kizima cha kwanza shabiki aliyelipia pesa nyingi kuingia kwenye Emirates stadium anaaaa kuongea na simu wakati wenzake wapo busy na kuangalia soka. Shabiki wa pili alionekana kuwa ni teenager ambae yupo busy anafanya homework yake ndani ya uwanja wakati mechi inaendelea. Hiki kitendo ni cha kawaida wanafunzi wakiwa wanaangalia mechi kwenye Tv lakini sio uwanjani. Inaonekana hakuna sababu ya kulipia ticket na kuingia uwanjani na madaftari yako ukafanye home work.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni