pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Alhamisi, 4 Agosti 2016
Mshambuliaji Mtanzania Abdillahie Yussuf, 24, amejiunga na klabu ya Crawley Town kwa mkopo akitokea Mansfield Town. Klabu zote hizo zinashiriki "League Two" hhko nchini Uingereza
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni