pata dondoo mbalimbali za michezo ya ndani na nje ya nchi.mompondazy itakujuza kila kitu.
Alhamisi, 1 Septemba 2016
Mashabiki wamtetea Chris Brown
Mashabiki wanamtetea mwanamuziki Chris Brown ambaye anakabiliwa na shtaka la kushambulia baada ya kumtishia kwa bunduki mwanamke mmoja katika nyumba yake.
Wakili wake anadai kwamba madai hayo ni ya uongo na mashabiki wamekongomana katika mitandao ya kijamii kumuunga mkono.
Hii sio mara ya kwanza kwa Brown kukabiliwa na sheria ikiwemo visa kadhaa vya ghasia alivyotekeleza hapo awali.
Lakini ni kwa nini mashabiki wengi wanampenda?
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni